Timu ya Bagamoyo Sugar ya Bagamoyo wametwaa Ubingwa wa Mkoa wa Pwani RCL kwa 3-2 dhidi ya timu ya Kiduli yenye maskani yake Wilaya ya Kibaha. A…
Read moreTimu ya Soka Mkoa wa Pwani Barberian jana tarehe 11 Januari 2026 jioni wamewachezesha kwata Maafande wa timu ya TMA yenye maskani yake Jijini Arus…
Read moreMkurugenzi wa Kiduli FC ambaye pia ni Mkurugenzi wa Kiduli Security Ally Masimike amesema kuwa "awali ya yote anawapongeza wachezaji kwa kucheza…
Read moreNa Mwandishi Wetu, Rombo. Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) imeshiriki katika tamasha la Rombo Marathon_ lililofanyika leo tarehe 23 Desemba 20…
Read moreKamishna wa Uhifadhi wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro Bwana Abdul-Razaq Badru amezipongeza timu za Mamlaka hiyo zinazoshiriki mashindano ya Shirik…
Read moreTimu ya mpira wa Netiboli na mpira wa wavu ya Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro imewasili mkoani Morogoro tarehe 25 Novemba 2025, imeendelea na progra…
Read moreNahodha msaidizi wa timu ya soka ya Kilimanjaro FF inayomilikiwa na Watanzania nchini Sweden, Richard Ntirugelehwa, maarufu kama Messy, akimkabidhi B…
Read more*_Amkabidhi Nyumba jijini Dodoma* *Mheshimiwa Majaliwa asema Simbu ameliheshimisha Taifa* *Atoa zawadi kwa Timu zilizofanya vizuri kimataifa* Rais D…
Read moreMkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Jacob John Mkunda akimvisha cheo kipya Sajini Alphonce Simbu ambaye ni Mshindi wa Medali ya Dhahabu ya Marathon …
Read moreWizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo imefafanua kuhusu taarifa zilizosambaa mitandaoni zikionyesha wachezaji wa Pamba Jiji FC wakifanya maz…
Read more-Mashindano ya Dunia Tokyo Japa - muda saa mbili na dakika tisa na sekunde arobaini na nane ( 2:09:48) - medali ya Kwanza kwenye historia ya Tanzan…
Read moreWachezaji wa timu ya soka ya wanawake ya Future Stars Academy ya Arusha wakimkabidhi kombe la mshindi wa pili Afisa Mwandamizi wa Ubalozi wa Tanzania…
Read moreMashabiki wa Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) na wapenzi wa mpira wa miguu, tayari wameanza kusogea katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, Jijini Da…
Read moreNa Hamis Dambaya, DSM. Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) imenunua tiketi 500 kwa ajili ya kulipia mashabiki 500 kuingia uwanja wa Benjamini Mka…
Read moreNa Mwandishi Wetu, Antwerp, Ubelgiji. Timu ya soka ya Watanzania iitwayo Kilimanjaro kutoka Sweden imetwaa tena kwa mara ya nne mfululizo ubingwa wa …
Read moreSHIRIKISHO la Mpira wa Miguu kwa watu wenye ulemavu (Taff) limezikabidhi zawadi kwa timu zilizofanya vizuri katika mashindano ya soka yaliyofanyika A…
Read moreNa Mwandishi Wetu SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu kwa watu wenye ulemavu (TAFF) limetangaza Ivo Mapunda kuwa Kocha Mkuu wa timu ya Taifa ‘Tembo Warrior…
Read more
Copyright © 2015 - 2025 BongoWeekend All Right Reserved
Developed by Gadiola Emanuel
Social Plugin