Ndivyo anavyoonekana Kamishna wa Uhifadhi wa Mamlaka ya Hifadhi Ngorongoro Bwana Abdul-Razaq Badru (kushoto) kumweleza waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Dkt Ashatu Kijaji (Katikati) alipotembelea Banda la Mamlaka hiyo katika maadhimisho ya siku ya wanyama pori yaliyofanyika Viwanja vya nanenane Njiro Arusha.
SEKTA YA SHERIA NI MIUNDOMBINU LAINI KUFIKIA DIRA 2050
-
Sekta ya Sheria siyo ya huduma ila miundombinu laini kufikia utekelezaji wa
Dira ya Maendeleo ya Taifa 2050.
Hayo yameelezwa na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara...
1 hour ago

0 Comments