Bodi ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) inayoongozwa na Mwenyekiti wake, Mkuu wa Majeshi mstaafu Jenerali Venance Salvatory Mabeyo imeanza Vikao vya Bodi hiyo ngazi ya Kamati za Kisekta kujadili utekelezaji wa Majukumu mbalimbali ya shirika kwa kipindi cha miezi 6 iliyopita (Julai- Desemba 2025) mwaka wa Fedha 2025/2026.
RAIS SAMIA AZINDUA MAKAO MKUU YA ULINZI WA TAIFA
-
Taswira ya jengo la Makao Makuu ya Ulinzi wa Taifa (MMUT), lililopo eneo
la Kikombo Mkoani Dodoma mara baada ya kuzinduliwa na Rais wa Jamhuri ya
Mu...
18 minutes ago





0 Comments