Mashabiki wa Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) na wapenzi wa mpira wa miguu, tayari wameanza kusogea katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, Jijini Dar es Salaam, tayari kwa ajili ya mechi ya Taifa Stars dhidi ya Morocco, itakayochezwa saa 2:00 usiku katika uwanja huo, leo Agosti 22, 2025.
Ilala Yajipanga Kuwa Kinara wa Miji ya Kijani
-
*Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam.*
*MKUU wa Wilaya ya Ilala, Mheshimiwa Edward Mpogolo, amewataka wakazi wa
wilaya hiyo kuonyesha uzalendo wa kweli kwa ...
1 hour ago








0 Comments