Mashabiki wa Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) na wapenzi wa mpira wa miguu, tayari wameanza kusogea katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, Jijini Dar es Salaam, tayari kwa ajili ya mechi ya Taifa Stars dhidi ya Morocco, itakayochezwa saa 2:00 usiku katika uwanja huo, leo Agosti 22, 2025.
WAKAZI WA MAJENGO NA AMANI MBEZI KWA MSUGULI WAILALAMIKIA DAWASA KWA KUKOSA
HUDUMA YA MAJI KWA MUDA MREFU
-
*Wakazi wa Majengo na Amani Mbezi kwa Msuguli wakiwa wamepanga foleni
kuchota maji kwa mmoja ya mwananchi wa mtaa wa pili.*
*Dar es Salaam Januari 6, 2025:...
4 hours ago








0 Comments