Mashabiki wa Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) na wapenzi wa mpira wa miguu, tayari wameanza kusogea katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, Jijini Dar es Salaam, tayari kwa ajili ya mechi ya Taifa Stars dhidi ya Morocco, itakayochezwa saa 2:00 usiku katika uwanja huo, leo Agosti 22, 2025.
Afya Bora Yatajwa Msingi wa Uchumi Imara na Tija kwa Taifa
-
UBORA wa rasilima watu( Afya na Maarifa) ndio sarafu ya dunia kwa sasa na
hivyo kete muhimu kwa Tanzania kujiunga na Mataifa tajiri mwaka 2050(
Trili...
12 hours ago








0 Comments