Mashabiki wa Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) na wapenzi wa mpira wa miguu, tayari wameanza kusogea katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, Jijini Dar es Salaam, tayari kwa ajili ya mechi ya Taifa Stars dhidi ya Morocco, itakayochezwa saa 2:00 usiku katika uwanja huo, leo Agosti 22, 2025.
POLISI PWANI YAJIVUNIA MAFANIKIO YA OPERESHENI NA MISAKO
-
Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani kwa kipindi cha miezi mitatu kuanzia
Septemba hadi Novemba 2025 ambapo wamefanya misako ya kuzuia na
kutanzua ...
7 hours ago








0 Comments