Taswira ya jengo la Makao Makuu ya Ulinzi wa Taifa (MMUT), lililopo eneo la Kikombo Mkoani Dodoma mara baada ya kuzinduliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. Samia Suluhu Hassan, tarehe 24 Februari, 2026.
Rais na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipiga Light Pistol juu ikiwa ni ishara ya kuzindua jengo la Makao Makuu ya Ulinzi wa Taifa (MMUT) yalliyopo eneo la Kikombo Mkoani Dodoma leo tarehe 24 Februari 2026.
Rais na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akimkabidhi bendera Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania, Jenerali Jacob John Mkunda.
Rais Dkt Samia Suluhu Hassan akikabidhi ufunguo wa jengo hilo kwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dkt. Rhimo S. Nyansaho.
Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan akipigiwa wimbo wa Taifa na baadaye kupigwa mizinga.
Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan akikagua gwaride la vikosi vya ulinzi.
Baadhi ya Waambata wa Majeshi walioziwakilisha nchi zao nchini.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Maafisa, Askari, Watumishi wa umma na wageni mbalimbali waliohudhuria uzinduzi wa jengo hilo.
Picha zote na Richard Mwaikenda, Dodoma


.jpeg)
.jpeg)




0 Comments