.Hapa ni fullshangwe .
Hapa ilikuwa ni Fuullllshagweeee.
Vijana wakimwaga shoo la ufunguzi katika barabara ya kwenda Morogoro hapa ni Manzese.
Waliojitokeza wakijimwayamwaya kwa tamasha lenye mvuto linalotarajiwa kuanza hivi karibuni.
Hapa kina kaka wakiendeleza libeneke la shoo yao katika viwanja ya Bakhresa Manzese.
Hapa shangwe za uzinduzi zikiendelea .
Watangazi wa Redio Clouds Kushoto Simalenga na Anold Kayanda 'Mzee wa Kambi Popote' aliyekuwa MC hapa eakicheki jambo.
Shughuli na mwenyewe hapa watangazaji wa Redio Clouds Kibonde mwenye fulana nyeusi, Shadee wa kwanza kulia akifuatiwa na Regina Mwalekwa na mmoja wa mashabiki jina halikupatikana wakionyesha jinsi walivyo wajanja katika kusakata mtindo wa Kiduku.Mikoa mingine ambayo ilizindua Tamasha hilo jana na katika muda mmoja yaani saa kumi alasiri ni Arusha, Dodoma na Mwanza .
Waziri wa Fedha akutana na kufanya mazungumzo na Kitengo cha Kudhibiti
Fedha Haramu (FIU)
-
Waziri wa Fedha wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Balozi Khamis
Mussa Omar (Mb), akiongoza kikao kazi cha kupokea taarifa ya utekelezaji wa
majuku...
3 hours ago
0 Comments