Mhe.Mstahiki Meya Dkt. Nicas amsimamo huo baada ya wananchi kulalamikia shamba hilo kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika Mtaa wa Visiga Kati wakati akiwa kwenye ziara ya kutatua kero za wananchi kwenye Kata ya Visiga.
Sabra Selemani ambaye ni mwanach amelalamika kuwa shamba hilo linalazisha Nzi kutokana na uchafu wa kinyesi cha kuku (mbolea) ambayo imekuwa ikikaa muda mrefu huoza na kuanza kutoa harufu mbaya.
Sabra amesema kuwa mbolea hiyo ikioza inazalisha funza ambao huzaa Nzi kwa wingi ambao husambaa kwenye baadhi ya Mitaa na kusababisha kero kubwa kwa wananchi hasa wale wanaofanya biashara za vyakula na wakati mwingine huingia kwenye vyakula vyao hali inayowakimbiza wateja wao.
Haya ni baadhi ya mabanda ya kufuga kuku katika shamba Rasbery Farm.
Msimamizi wa Shamba la ufugaji kuku Rasbery Farm lililopo Visiga Kibaha akiandaa dawa za kuulia Nzi mara baada ya Mstahiki Meya wa Manispaa ya Kibaha Dkt Nicas na Wataalam mbalimbali kutembeleana kukagua eneo hillo tarehe 02 Januari 2026.
Mstahiki Meya wa Manispaa akielekea kwenye darasa la TEHAMA katika Shule ya Visiga.
Haya ni baadhi ya mabanda ya kufuga kuku katika shamba Rasbery Farm.
Msimamizi wa Shamba la ufugaji kuku Rasbery Farm lililopo Visiga Kibaha akiandaa dawa za kuulia Nzi mara baada ya Mstahiki Meya wa Manispaa ya Kibaha Dkt Nicas na Wataalam mbalimbali kutembeleana kukagua eneo hillo tarehe 02 Januari 2026.
Msimamizi wa shamba la kuku CH. Prabhakaf akifafanua jambo kuhusu kero hiyo na kuahidi kupiga dawa kuharibu mazalia ya Nzi
Ameahidi Mstahiki Meya wa Manispaa ya Kibaha Dkt. atakaporudi hali itakua imebadilika.
Mstahiki Meya wa Manispaa akielekea kwenye darasa la TEHAMA katika Shule ya Visiga.










0 Comments