Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiweka jiwe la msingi katika Jengo jipya la Machinjio lililojengwa katika Kijiji cha Ngelewala mkoani Iringa wakati akimalizia ziara yake katika mkoa huo jana Februari 29, 2012. Kulia kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Iringa, C. Ishengoma. Picha na Muhidin Sufiani-OMR
𝗛𝗔𝗧𝗜 𝗬𝗔 𝗠𝗔𝗞𝗨𝗕𝗔𝗟𝗜𝗔𝗡𝗢 𝗬𝗔 𝗞𝗨𝗪𝗔𝗝𝗘𝗡𝗚𝗘𝗔 𝗨𝗪𝗘𝗭𝗢
𝗪𝗔𝗧𝗨𝗠𝗜𝗦𝗛𝗜 𝗪𝗔 𝗨𝗠𝗠𝗔 𝗪𝗔 𝗧𝗔𝗡𝗭𝗔𝗡𝗜𝗔 𝗡𝗔 𝗞𝗘𝗡𝗬𝗔
𝗬𝗔𝗦𝗔𝗜𝗡𝗜𝗪𝗔
-
Hati ya makubaliano ya mashirikiano ya kuwajengea uwezo watumishi wa umma
wa Tanzania na Kenya imesainiwa kati ya Dkt. Ernest Francis Mabonesho,
Mt...
13 hours ago

0 Comments