MBUNGE wa jimbo la Bahi Mkoani Dodoma (CCM) Omar Ahmed Badwel (43) amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijini Dar es Salaam leo kwa tuhuma za kupokea rushwa kiasicha Mil1 .
Hapa Mbunge huyo akiwa chini ya ulinzi.(Picha kwa hisani ya Francis Dande).
MWENGE WAHAMASISHA NISHATI SAFI KUMUUNGA MKONO RAIS SAMIA, ,WAGAWA MITUNGI
40 RUFIJI
-
Mwamvua Mwinyi, Rufiji Aprili 26, 2026
Mwenge wa Uhuru wahimiza na kuhamasisha wananchi kuunga mkono matumizi ya
nishati safi ikiwemo gesi ya kupikia, ma...
3 hours ago
0 Comments