Matukio mbalimbali katika Mkutano wa 44 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) ambapo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan alishiriki Mkutano huo Jijini Harare nchini Zimbabwe tarehe 17 Agosti, 2024
Rais wa Jamhu ya muungano akifuatilia jambo katika mkutano huo wa wakuu wa nchi na serikali wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika SADC.
MWANAMKE MMOJA AFARIKI DUNIA AJALI YA ROLI MBEZI KWA MSUGULI
-
NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV
Mwanamke mmoja amefariki dunia baada ya gari aina ya roli lenye namba ya
usajili T696 CLY kuacha njia na kumgonga mwanamke ...
36 minutes ago








0 Comments