Matukio mbalimbali katika Mkutano wa 44 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) ambapo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan alishiriki Mkutano huo Jijini Harare nchini Zimbabwe tarehe 17 Agosti, 2024
Rais wa Jamhu ya muungano akifuatilia jambo katika mkutano huo wa wakuu wa nchi na serikali wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika SADC.
Rais Samia akutana na Uongozi wa Mtandao wa Wanawake Viongozi Afrika
(AWLN), Ikulu Jijini Dar es Salaam.
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
akisalimiana na Mlezi wa Mtandao wa Wanawake Viongozi Afrika (AWLN) Rais
Mstaaf...
1 hour ago








0 Comments