Matukio mbalimbali katika Mkutano wa 44 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) ambapo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan alishiriki Mkutano huo Jijini Harare nchini Zimbabwe tarehe 17 Agosti, 2024
Rais wa Jamhu ya muungano akifuatilia jambo katika mkutano huo wa wakuu wa nchi na serikali wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika SADC.
MBUNGE JUMAA AFUTURISHA VIONGOZI WA CCM KATA SITA MLANDIZI WASHUKURU, AOMBA
USHIRIKIANO ZAIDI
-
Mbunge wa Jimbo la Kibaha Vijijini Hamoud Abuu Jumaa leo tarehe 25 Februari
2026 amekutana na Viongozi wa Chama Cha Mapinduzi katika mkutano maalumu wa
k...
32 minutes ago








0 Comments