MATUKIO MBALIMBALI YA MKUTANO WA SADC

Matukio mbalimbali katika Mkutano wa 44 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) ambapo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan alishiriki Mkutano huo Jijini Harare nchini Zimbabwe tarehe 17 Agosti, 2024
Rais wa Jamhu ya muungano akifuatilia jambo katika mkutano  huo wa wakuu wa nchi na serikali wa Jumuiya ya  Maendeleo Kusini mwa Afrika SADC.


Post a Comment

0 Comments