Na Mwandishi Wetu
Aidha, amesema awali alipata taarifa na maelezo tofauti kuhusu Sheria ya Huduma za Habari, lakini baada ya kufika Bodi na kupewa ufafanuzi wa kina, ameelewa vyema dhamira ya Serikali ya kuimarisha taaluma hiyo na kwamba imeonesha uvumilivu mkubwa kwa kutoa kipindi cha mpito cha kutosha kwa waandishi na taasisi husika.
“Nakiri wazi kuwa Bodi ni mlezi kwa waandishi. Baada ya kuielewa vizuri Sheria, hakuna sababu ya kupingana nayo. Watu wangu tayari wamechukua hatua na wamerejea vyuoni,” amesema Diamond, akisisitiza umuhimu wa mawasiliano mazuri kati ya wadau wa habari na wasimamizi wa Sheria.
#ithibatikidijitali
#kazinaututunasongambele


0 Comments