Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli akisalimiana na Mbunge wa Arumeru Msshariki Mhe Joshua Nassari aliyekuwa mmoja wa viongozi na wananchi waliojitokeza kwa wingi kumpokea alipowasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) tayari kuongoza Mkutano wa 17 wa Kawaida wa Wakuu wa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki utofanyika jijini Arusha.
Picha na IKULU
WAZIRI NDEJEMBI AWEKA JIWE LA MSINGI MRADI WA BENACO–KYAKA
-
📌 Utawezesha Mkoa wote Kagera kuunganishwa na Gridi ya Taifa
📌 Zaidi ya Bilioni 270 kutumika kutekeleza mradi
📌 Mradi kukamilika ndani ya miezi 24
...
3 hours ago

0 Comments