Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akishiriki katika misa ya kuaga mwili wa aliyekuwa Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango, Bw. Lawrence Nyasebwa Mafuru katika Viwanja vya Karimjee, jijini Dar es Salaam, tarehe 14, Novemba 2024.
Serikali Yaanza Mazungumzo na Mwekezaji Mpya Kujenga Barabara ya Haraka
Dar–Chalinze
-
SERIKALI imethibitisha kuwa ipo katika mazungumzo na mwekezaji mwingine
kwa ajili ya utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa barabara ya haraka
(expressway) k...
13 minutes ago






0 Comments