Kiongozi
mzuri ni yule anayejitoa kwa watu wake..Leo hii nikiwa Mwenyekiti wa
Ccm kata ya Jangwani nimekabidhi vifaa vya Michezo kwa Uongozi wa Timu
ya Uhuru na Mzalendo ambayo inajiandaa na Mashindano ya Nssf Cup.Vile
vile wiki hii nitakabidhi Vifaa vya Michezo kwa Timu 6 zilizopo ktk Kata
yangu,hii yote ni ktk kutekeleza Ilani ya Chama changu (ukisema
najipanga juu yako) KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI.
IAEA yajionea mageuzi ya utoaji huduma katika Taasisi ya Ocean Road
-
Mkurugenzi Mkuu wa Nguvu za Atomu Tanzania (TAEC) Profesa Najat Kassim
Mohammed akizungumza kuhusiana na ujio wa IAEA katika Taasisi ya Ocean Road
kuanga...
2 hours ago


0 Comments