
Watu
wawili akiwemo Mkurungenzi wa taasaisi ya Ansurisuna kanda ya kaskazin
Shekhe Sudi Ally Sudi wamejeruhiwa vibaya na kitu kinachohisiwa kuwa ni
bomu la kutupwa kwa mkono usiku wa kuamkia leo eneo la majengo jiji
Arusha.
Chanzo Radio One

Copyright © 2015 - 2025 BongoWeekend All Right Reserved
Developed by Gadiola Emanuel
0 Comments