Mwenyekiti wa Klabu ya Simba ya Jijini Dar es Salaam Ismail Aden Rage amenyakua kiti cha Ubunge kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika jimbo la Tabora Mjini.
SITA KIZIMBANI KWA KUTUMIA NIDA ZA WATU KUSAJILIA LINE ZINGINE
-
Na Karama Kenyunko Michuzi Tv OFISA Uchunguzi wa Halotel Fabian Kulwa (40)
na wenzane watano wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu
wakikabil...
11 hours ago
0 Comments