Hii ni gari ya Tevez ikionekana kwa nyuma ilivyovyunjwa vioo na mkewe Isha Mashauzi baada ya kukosa talaka.Tukio hili lilitokea Tandale kwa Tumbo Dar es Salaam nyumbani kwa Tevez.Tukio hili liliropotiwa na Blog hii mwishoni mwa wiki ambapo wenza hawa wanadaiana talaka.Isha anataka talaka huku Tevez akidai wafuate njia sahihi na siyo kuachana kihuni.
MBUNGE KAIRUKI ATOA MATUMAINI MAPYA SARANGA, AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO NA
KUSIKILIZA KERO ZA WANANCHI
-
Mheshimiwa Mbunge wa Jimbo la Kibamba, Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki,
amefanya ziara ya kukagua na kutembelea miradi mbalimbali ya maendeleo
inayoendelea...
1 hour ago



1 Comments