ZOEZI LA KUHAMA KWA HIARI LIPO PALEPALE - WAZIRI CHANA

Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi Dkt.Pindi Chana (Mb) akikagua gwaride la heshima alipofanya ziara ya Kikazi katika Mamlaka ya Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro Wilaya ya Karatu Mkoani Arusha leo.

Waziri wa Maliasili na Utalii,Mhe. Balozi, Dkt. Pindi Chana (Mb) akizungumza na watumishi wa Mamlaka ya Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro katika Makao Makuu ya Ofisi za NCAA Wilayani Karatu Mkoani Arusha leo Mkoani Arusha.
Baadhi ya Askari Uhifadhi wa Mamlaka ya Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro wakimsikiliza Waziri wa Maliasili na Utalii,Mhe. Balozi, Dkt. Pindi Chana (Mb)(hayupo pichani) wakati wa ziara ya kikazi katika Makao Makuu ya Ofisi za NCAA Wilayani Karatu Mkoani Arusha leo Mkoani Arusha.

Post a Comment

0 Comments