Waziri wa Maliasili na Utalii,Mhe. Balozi, Dkt. Pindi Chana (Mb) akizungumza na watumishi wa Mamlaka ya Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro katika Makao Makuu ya Ofisi za NCAA Wilayani Karatu Mkoani Arusha leo Mkoani Arusha.
Baadhi ya Askari Uhifadhi wa Mamlaka ya Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro wakimsikiliza Waziri wa Maliasili na Utalii,Mhe. Balozi, Dkt. Pindi Chana (Mb)(hayupo pichani) wakati wa ziara ya kikazi katika Makao Makuu ya Ofisi za NCAA Wilayani Karatu Mkoani Arusha leo Mkoani Arusha.
WANA-DGSS WAADHIMISHA SIKU YA KIMATAIFA YA KIDEMOKRASIA IKIHIMIZA USHIRIKI
WA WANAWAKE KATIKA MAAMUZI
-
Septemba 15 ya kila mwaka, wananchi kote duniani huadhimisha Siku ya
Kimataifa ya Demokrasia, siku ambayo inelanga kukumbusha na kuhimiza
majukumu na wajib...
5 hours ago
0 Comments