Waziri wa Maliasili na Utalii,Mhe. Balozi, Dkt. Pindi Chana (Mb) akizungumza na watumishi wa Mamlaka ya Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro katika Makao Makuu ya Ofisi za NCAA Wilayani Karatu Mkoani Arusha leo Mkoani Arusha.
Baadhi ya Askari Uhifadhi wa Mamlaka ya Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro wakimsikiliza Waziri wa Maliasili na Utalii,Mhe. Balozi, Dkt. Pindi Chana (Mb)(hayupo pichani) wakati wa ziara ya kikazi katika Makao Makuu ya Ofisi za NCAA Wilayani Karatu Mkoani Arusha leo Mkoani Arusha.
TRA KILOMBERO YATOA ELIMU YA MFUMO WA IDRAS KWA WALIPAKODI
-
Na Farida Mangube, Morogoro
Wafanyabiashara na walipakodi wa Wilaya ya Kilombero, mkoani Morogoro,
wamepatiwa mafunzo kuhusu matumizi ya mfumo wa kielektr...
1 hour ago



0 Comments