Waziri wa Maliasili na Utalii,Mhe. Balozi, Dkt. Pindi Chana (Mb) akizungumza na watumishi wa Mamlaka ya Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro katika Makao Makuu ya Ofisi za NCAA Wilayani Karatu Mkoani Arusha leo Mkoani Arusha.
Baadhi ya Askari Uhifadhi wa Mamlaka ya Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro wakimsikiliza Waziri wa Maliasili na Utalii,Mhe. Balozi, Dkt. Pindi Chana (Mb)(hayupo pichani) wakati wa ziara ya kikazi katika Makao Makuu ya Ofisi za NCAA Wilayani Karatu Mkoani Arusha leo Mkoani Arusha.
Jokate Mwegelo asifu mchango wa hospitali ya Kairuki
-
Na Mwandishi Wetu
WANAWAKE watatu wamebahatika kupata fursa ya kupandikiza mimba bure katika
kituo cha kupandikiza mimba cha Kairuki Green IVF (KGIVF), Kil...
32 minutes ago



0 Comments