Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan ameweka jiwe la msingi kiwanda cha Sigara cha Serengeti SCC Mkoani Morogoro leo Agosti 6.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Viongozi mbalimbali mara baada ya kuweka jiwe la Msingi la msingi ujenzi wa Kiwanda cha Sigara cha Serengeti (SCC) katika eneo la Kiwanda cha uchakataji tumbaku Mkwawa (MTPL) Mkoani Morogoro tarehe 06 Agosti, 2024.
JUBILEE HEALTH INSURANCE YAPELEKA ELIMU YA AFYA YA AKILI KWA WANAFUNZI
SEKONDARI
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
JUBILEE Health Insurance imetoa elimu kuhusu afya ya akili kwa wanafunzi wa
Shule ya Sekondari Mzizima jijini Dar es Salaam len...
1 hour ago





0 Comments