RAIS DKT.SAMIA SULUHU HASSAN AMEWEKA JIWE LA MSINGI KIWANDA CHA SIGARA MOROGORO

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan ameweka jiwe la msingi kiwanda cha Sigara cha Serengeti SCC Mkoani Morogoro  leo Agosti 6.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Viongozi mbalimbali mara baada ya kuweka jiwe la Msingi la msingi ujenzi wa Kiwanda cha Sigara cha Serengeti (SCC) katika eneo la Kiwanda cha uchakataji tumbaku Mkwawa (MTPL) Mkoani Morogoro tarehe 06 Agosti, 2024.

Post a Comment

0 Comments