Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan ameweka jiwe la msingi kiwanda cha Sigara cha Serengeti SCC Mkoani Morogoro leo Agosti 6.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Viongozi mbalimbali mara baada ya kuweka jiwe la Msingi la msingi ujenzi wa Kiwanda cha Sigara cha Serengeti (SCC) katika eneo la Kiwanda cha uchakataji tumbaku Mkwawa (MTPL) Mkoani Morogoro tarehe 06 Agosti, 2024.
TRA YAIBUKA MSHINDI WA KWANZA WA JUMLA TUZO ZA NBAA KWA MWAKA 2024
-
Mamlaka ya Mapato tanzania (TRA) yaibuka Mshindi wa Kwanza wa jumla kwenye
uandaaji wa hesabu za kifedha zinazozingatia viwango vya Kimataifa vya
Uhasibu k...
52 minutes ago





0 Comments