Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan ameweka jiwe la msingi kiwanda cha Sigara cha Serengeti SCC Mkoani Morogoro leo Agosti 6.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Viongozi mbalimbali mara baada ya kuweka jiwe la Msingi la msingi ujenzi wa Kiwanda cha Sigara cha Serengeti (SCC) katika eneo la Kiwanda cha uchakataji tumbaku Mkwawa (MTPL) Mkoani Morogoro tarehe 06 Agosti, 2024.
TEKNOLOJIA NA RASILIMALI ZATAJWA KUHITAJI HATUA ZA HARAKA KATIKA SEKTA YA
NISHATI
-
NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM
SEKTA binafsi imeelezwa kuwa nguzo muhimu katika kufanikisha malengo ya
Mpango wa Nne wa Maendeleo (FYDP IV), huku Serik...
22 minutes ago





0 Comments