DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AWASILI NAIROBI KUHUDHURIA HAFLA YA UZINDUZI WA KAMPENI YA WAZIRI MKUU MSTAAFU RAILA AMOLO ODINGA

Rais  wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan akisaini kitabu cha kumbukumbu  za wageni  mara baada ya kuwasili katika Uwanja  wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta Jijini Nairobi nchini Kenya leo Agosti 27 /2024
Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan amewasili Uwanja  wa Ndege wa Kimataifa  wa Jomo Kenyatta Jijini Nairobi  Kenya leo Agosti 27,2024.
Rais DKT. Samia awasili Nairobi Kuhudhuria  hafla ya uzinduzi ya  wa  kampeni ya  Mhe. Raila Amolo  Odinga , Waziri  Mkuu  Mstaafu wa Jamhuri  ya Kenya  anayewania nafasi ya   Mwenyekiti wa  Kamisheni ya  Umoja  wa Afrika (AU).
Rais  wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan akizungumza  na Waziri  wa Ardhi Kazi  za Umma  Nyumba  na Maendeleo  ya Miji Mhe.Alice Muthoni mara baada ya  kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa  wa Jomo Kenyatta Jijini Nairobi. 

Post a Comment

0 Comments