Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan akisaini kitabu cha kumbukumbu za wageni mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta Jijini Nairobi nchini Kenya leo Agosti 27 /2024
Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan amewasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta Jijini Nairobi Kenya leo Agosti 27,2024.
Rais DKT. Samia awasili Nairobi Kuhudhuria hafla ya uzinduzi ya wa kampeni ya Mhe. Raila Amolo Odinga , Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Kenya anayewania nafasi ya Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika (AU).
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan akizungumza na Waziri wa Ardhi Kazi za Umma Nyumba na Maendeleo ya Miji Mhe.Alice Muthoni mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta Jijini Nairobi.
Ujenzi miundombinu ya BRT Awamu ya Tatu Gongo la Mboto wafikia 99%
-
Na. Mwandishi Wetu.
Awamu ya Tatu ya Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka maarufu kama Mwendokasi
katika Barabara ya Nyerere kuelekea Gongolamboto na maeneo yaJ...
11 minutes ago





0 Comments