| Baadhi ya akinana wakazi wa kijiji cha Mbaka Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe wakikatiza katika ya mto kutokana na Daraja walilokuwa wakitumia kuzuiwa na serikali ili kupisha ujenzi wake. |
Basi Lapinduka Mikumi 57 wanusurika, 13 Wajeruhiwa
-
Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro linamshikilia Charles Hirali Msangi (34)
kwa tuhuma za kusababisha ajali iliyosababisha abiria 57 kunusurika kifo
katika e...
1 hour ago
0 Comments