Serikali kupitia Wizara yake ya Habari , Utamaduni, Sanaa na Michezo leo asubuhi wametangaza kumfungia msanii wa muziki wa kizazi kipya Snura Mushi kujihususha na masuala ya sanaa ikiwemo kutumbuiza mahali popote.
Akikzungumza na waandishi wa habari wizarani hapo Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano wa Wizara hiyo Zawadi Msalla, ametoa onyo kali kwa watu kutousambaza wimbo huo kwenye mitandao ya kijamii ikiwemo WhatsApp.
Amesisitiza kuwa kwa yeyote atakayekiuka agizo hilo atashitakiwa kwa kutumia sheria ya makosa ya mtandao.
Waziri Mavunde Apongeza Ushirikiano Benki Ya CRDB na Tume ya Madini
Uwezeshaji Wachimbaji Wadogo wa Madini
-
Dar es Salaam, 23 Februari 2026 — Waziri wa Madini, Anthony Mavunde,
amepongeza kwa ushirikiano wa kimkakati kati ya Benki ya CRDB na Tume ya
Madini, akie...
17 minutes ago

0 Comments