Sehemu ya Kiwanda Cha Saruji Cha Wazo Hill Jijini Dar es Salaam ambako dawa za kulevya zimeteketezwa leo chini ya uangalizi mkali . Akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kuzichoma moto katika kinu hicho Jaji wa Mahakama Kuu Edson Mkasimonja alizitaja aina ya dawa hizo kuwa ni Heroine na Cocaine ambazo zilikamatwa miaka kadhaa Mbezi Jogoo.
Jaji wa Mahakama Kuu Mkasimonja akitia saini kwenye kitabu kabla ya kuanza zoezi la kuchoma dawa hizo zenye thamani ya Shilingi Bilton tano.
Hapa baadhi ya Askari wakiimarisha ulinzi chini wakati zoezi la kuchoma dawa hizo likiendelea.
Mfuko ambao unaonekana juu ambao ulikua u eh idadi wa dawa hizo.
Mkurugenzi wa Mashtaka Biswalo Mganga aliyejishika usoni akiwa amesema ma karibu na eneo la kuchomea dawa hizo.
BANK OF AFRICA TANZANIA KUENDELEA KUTOA HUDUMA BORA NA ZA VIWANGO VYA JUU
-
Mkurugenzi Mtendaji wa Bank of Africa Tanzania, Esther Maruma (kushoto)
akikata keki pamoja na mmoja ya wateja wa benki hiyo, Bw Conrad leo
(Katikati)...
39 minutes ago
0 Comments