Juu na chini ni Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimjulia hali mtoto Andrew Simba (15)
aliyelazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili wakati Rais
alipowatembelea na kuwafariji baadhi ya wagonjwa katika wodi ya
Mwaisela leo.
Rais akizungumza na mtoto huyo.
0 Comments