| Bondia Ibrahimu Class 'King Class Mawe' kulia akioneshana uwezo wa kutupiana makonde na Ally Masaga wakati wa mazoezi yaliyofanyika katika kambi ya Ilala Amana CCM Dar es salaam Class anajiandaa na mpambano wake wa mei mosi dhidi ya Amos Mwamakula utakaopigwa katika ukumbi wa PTA Saba saba Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com |
RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA KAMPUNI YA PERSEUS MINING LIMITED NA
SOTTA MININING CORPORATION LIMITED, IKULU CHAMWINO, MKOANI DODOMA
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu
Hassan, akiwa kwenye picha na Waziri wa Madini Mhe. Anthony Mavunde, pamoja
na Mw...
6 hours ago
0 Comments