| Bondia Ibrahimu Class 'King Class Mawe' kulia akioneshana uwezo wa kutupiana makonde na Ally Masaga wakati wa mazoezi yaliyofanyika katika kambi ya Ilala Amana CCM Dar es salaam Class anajiandaa na mpambano wake wa mei mosi dhidi ya Amos Mwamakula utakaopigwa katika ukumbi wa PTA Saba saba Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com |
RC SENDIGA ATOA ONYO KWA WANAWAKE VIONGOZI: ‘TUKIRUDI NYUMBANI SISI NI WAKE’
-
*Manyara — Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Mhe. Queen Cuthbert Sendiga, amewataka
wanawake wakiwemo viongozi kutambua na kuheshimu nafasi zao ndani ya ndoa,
akisi...
5 hours ago
0 Comments