Tunapenda kutoa habari hizi kwa waTanzania wote na wapenda maendeleo, Siku ya Jumamosi Aug 25 kutakuwa na ufunguzi rasmi wa tawi la Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Jijini Houston Texas nchini Marekani, Wageni rasmi wa ufunguzi wa tawi hilo ni Mhe. Freeman Mbowe na Mhe. Jodeph Mbilinyi (Mr. 2 ,Sugu) Sherehe za ufunguzi wa tawi hilo zitaanza muda wa saa 5:PM (Jioni)
Waziri wa Fedha na Mipango afanya mazungumzo na watendaji wa Benki Kuu ya
Tanzania Ofisi ya Zanzibar
-
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema nchi inategemea kwa kiasi kikubwa
ukusanyaji wa mapato ya ndani hususan yatokanayo na kodi, ambayo hutumika
...
54 minutes ago

0 Comments