Baba Mzazi wa bondia Fransic Cheka , Bonifasi Cheka kulia akiwa amemkunja baba mzazi wa Japhert Kaseba, Josepher Kaseba wakati wa kuzungumza na waandishi wa habari Dar es salaam leo kuzungumzia mpambanbo wa watoto wao utakaofanyika siku ya sabasaba katika uwanja mpya wa Taifa. Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
EWURA KANDA YA KASKAZINI YAWANOA VIONGOZI WA WILAYA YA KOROGWE
-
*Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) kupitia Kanda ya
Kaskazini, leo tarehe 5 Machi 2026 imetoa elimu kwa viongozi wa Wilaya ya
Kor...
26 minutes ago

0 Comments