MKUTANO WA JUKWAA LA WAHARIRI WAENDELEA ARUSHA

Scolastica Mazula wa Times Radio akiuliza jambo katika Mkutano huo wa siku mbili ulioanza leo.
Baadhi ya Wajumbe ambao pia ni wanachama wa Jukwaa la Wahariri.

Meza Kuu ya Jukwaa la Wahariri katika mkutano wao wa siku mbili uliodhaminiwa na Kampuni ya Bia Serengeti unaofanyika Jijini Arusha kutok a kulia ni Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Absalom Kibanda (Tanzania Daima), Massoud Saanani (Spoti Starehe), Salehe Mohammed (Tanzania Daima), Hawra Shamte (Mwananchi) na Katibu wa Jukwaa la Wahariri Neville Meena.

Post a Comment

0 Comments