Mkurugenzi wa Kampuni ya Zum Fashion Zuwena Mustafa akizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani katika mkutano uliofanyika leo kwenye hoteli ya Paradise City Jijini Dar es Salaam.Mazoezi ya warembo wa Miss Kurasini 2011 yanaendelea katika ukumbi wa Equator Grill uliopo Mtoni Sabasaba washiriki hao watachuana katika kumpata mwakilishi katika Kanda ya Temeke yaani Miss Temeke 2011.Shindano hilo limepangwa kufanyika kwenye ukumbi wa Equator Grrill Juni 3 mwaka huu .Zuena anawataja wadhamini wa shindano hilo kuwa ni Vodacom , Dodoma Wine, Cloud's FM, Jambo Leo, Rozela Saloon & Boutique, Condy Beaure De Change , Madilisha Video Production, Paradise City Hotel, Giraffe Oceanic View Hotel ,Trace Hills, Six Sinde na Free Voice.
RAIS WA ZANZIBAR DK. HUSSEIN MWINYI AJUMUIKA NA WANANCHI WA MKOA WA KUSINI
UNGUJA KATIKA IFTAAR
-
*RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein
Ali Mwinyi akimkabidhi sadaka ya Futari Abdillah Iddi Riziki mkaazi wa
Mgeni Haji...
3 minutes ago
0 Comments