Makamu wa Rais wa Jamhuri wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihojiwa na waandishi wa habari baada ya kufungua mkutano huo wa sita wa Kimataifa wa Afrika kuhusu Teknolojia ya Taarifa na Mawasiliano ya Ustawi, Elimu na Mafunzo (ICT), uliofunguliwa jijini Dar es Salaam jana Mei 25. Picha na Muhidin Sufiani-OMR Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Mohammed Gharib Bilal, akijaribu kuvaa miwani ili kuweza kuona picha iliyokuwa ikionyeshwa ukutani kupitia Screen na Projector (Animation Fils) , wakati alipotembelea Banda la maonyesho baada ya kufungua mkutano wa sita wa Kimataifa wa Afrika kuhusu Teknolojia ya Taarifa na Mawasiliano ya Ustawi, Elimu na Mafunzo (ICT), uliofunguliwa kwenye Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam jana Mei 25. Kushoto ni Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka na Waziri wa Elimu na Mafunzo, Shukuru Kawambwa (kulia) ni Mkurugenzi wa Designmate Animation Films, Colonel Basavaraj. Picha na Muhidin Sufiani-OMR
Picha ya pamoja na baadhi ya watu waliopresent paper zao.
MAREMA KUFANYA ZIARA KWENYE MATAWI
-
Na Mwandishi wetu, Mirerani
CHAMA cha wachimbaji madini Mkoa wa Manyara (MAREMA) kimepanga kuanza ziara
ya kutembelea matawi yake saba kwa ajili ya kusi...
Benki ya Stanbic Tanzania yafuturisha wateja wake
-
Katibu wa Baraza la Ulamaa Taifa, Sheikh Hassan Chizenga akipokea zawadi
kutoka kwa Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Stanbic, Manzi Rwegasira katika
Iftar...
Ni miaka minne ya neema kwa Mashirika ya Umma
-
Na Mwandishi wa OMH
Dar es Salaam. Safari ya miaka minne ya uongozi wa Mhe. Dkt Samia Suluhu
Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, imekuwa y...
Cara Terbaik Untuk Menang Judi Sicbo Online
-
Bergabung dalam permainan judi sicbo online yang dapat dimainkan melalui
smartphone, maka tentu saja para pemain bisa melakukan sejumlah taruhan
dengan nya...
Waziri Ndalichako azindua chuo kipya cha VETA Kagera
-
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Joyce Ndalichako amezindua
chuo kipya cha VETA Ndolage kilichopo Kamachumu Wilaya ya Muleba mkoani
Kagera k...
0 Comments