Waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali vya habari wakirekodi matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani uliofanyika Jumapili iliyopita nchini kote wakati Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC hayupo pichani alipokuwa makitangaza matokeo ya majimbo 34 leo kwenye kituo cha kutangaza matokeo kilichopo katika Hoteli ya Paradise City iliyopo maeneo ya Posta Jijini Dar es salaam kutoka kulia ni Ashura wa redio Tumaini, Maulid Ahmed Daily News, Khadija Uhuru na Mzalendo na Asha Bani Tanzania Daima.
Dkt. William Ruto Aipongeza NSSF Tanzania Kwa Uwekezaji wa Dola zaidi ya
Milioni 51 Nairobi
-
Rais wa Kenya, Mhe. Dkt. William Ruto, ameusifu uwekezaji wa Mfuko wa Taifa
wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) wa Tanzania unaoendelea jijini Nairobi, akisema
ni m...
1 hour ago
0 Comments