Ras Nas na skwadi yake watafanya shoo ya kumuenzi hayati Gregory Isaacs kwenye ukumbi wa Skuret jijini Oslo Jumamosi tarehe 06 Novemba. Kwa hivyo basi kaa tayari kuserebuka na muziki mseto wa reggae na bolingo kuanzia saa nne na nusu usiku. Safu ya Ras Nas inajumuisha Chuck Frazier (Texas), Uriel Seri (Ivory Coast), Larry Skogheim (Norway), Dag Pierre (Sweden) na Dj atakuwa Dj Geblik. Habari ndio hiyo!Ukumbi: Skuret Konsertscene. Oslo, NorwayAnwani: Christian Krohgsgt. 2Tarehe: Jumamosi 06 NovembaWakati: 22.30 HrsAsanteni,Kongoi Productionswww.kongoi.com
Dkt. William Ruto Aipongeza NSSF Tanzania Kwa Uwekezaji wa Dola zaidi ya
Milioni 51 Nairobi
-
Rais wa Kenya, Mhe. Dkt. William Ruto, ameusifu uwekezaji wa Mfuko wa Taifa
wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) wa Tanzania unaoendelea jijini Nairobi, akisema
ni m...
3 hours ago
0 Comments