Hii ni gari ya Tevez ikionekana kwa nyuma ilivyovyunjwa vioo na mkewe Isha Mashauzi baada ya kukosa talaka.Tukio hili lilitokea Tandale kwa Tumbo Dar es Salaam nyumbani kwa Tevez.Tukio hili liliropotiwa na Blog hii mwishoni mwa wiki ambapo wenza hawa wanadaiana talaka.Isha anataka talaka huku Tevez akidai wafuate njia sahihi na siyo kuachana kihuni.
TABESA YAZINDUA ‘SAUTI APP ’ KURAHISISHA MAWASILIANO KWA WENYE CHANGAMOTO
YA KUSIKIA
-
MWANAFUNZI wa mwaka wa tatu katika Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi
Shirikishi Muhimbili (Muhas), Jocelyne Joshua, amesema wao kama kikundi cha
Tanzania Biom...
59 minutes ago



1 Comments