Hii ni gari ya Tevez ikionekana kwa nyuma ilivyovyunjwa vioo na mkewe Isha Mashauzi baada ya kukosa talaka.Tukio hili lilitokea Tandale kwa Tumbo Dar es Salaam nyumbani kwa Tevez.Tukio hili liliropotiwa na Blog hii mwishoni mwa wiki ambapo wenza hawa wanadaiana talaka.Isha anataka talaka huku Tevez akidai wafuate njia sahihi na siyo kuachana kihuni.
USHIRIKIANO WA ADEM NA PROJECT ZAWADI KUINUA UONGOZI NA USIMAMIZI WA ELIMU
MKOANI MARA
-
Katika jitihada za kuboresha sekta ya elimu nchini Tanzania, ADEM na
Taasisi ya Project Zawadi wameingia makubaliano ya ushirikiano
utakaowezesha kuendesha...
19 minutes ago



1 Comments