Waombolezaji wakisindikiza mwili wa aliyekuwa mwandishi wa habari mwandamizi katika Kampuni ya New Habari ambao ni wachapishaji wa magazeti ya Mtanzania, Bingwa , Rai na The African marehemu Primitiva Pancras (28) leo jioni katika makaburi ya Kinondoni Jijini Dar es Salaam.Marehemu amefariki kutokana na matatizo ya uzazi pia amaecha mume.Mungu aipumzishe roho yake kwa amani Bwana ametoa Bwana ametwaa
KAMPASI YA TPSC TABORA YATOA MISAADA NA KUFANYA USAFI - KITUO CHA WAZEE
IPULI-TABORA
-
Tarehe 21 Februari 2026,
Katika kuelekea kilele cha maadhimisho ya miaka 25 ya Chuo cha Utumishi wa
Umma Tanzania (TPSC), Kampasi ya Tabora imefanya zia...
3 hours ago
1 Comments