Social Icons

Saturday, August 10, 2013

EID-MUBARAK WADAU WOTE WA BLOG


TUNAWATAKIA nawatakia Sikukuu njema ya Eid El Fitri, wadau wote wa mitandao hiyo. Tusherehekee kwa amani na utulivu na kufanya mema yote yaliyoamrishwa na Mwenyezi Mungu na kuendelea kuyakataa yale yote yaliyokatazwa, Inshaallah. Na pia tuuenzi mwezi huu kama mwalimu mzuri kwa kuendelea kutenda mema na kuyaacha yote tuliyoyaacha ndani ya huu mtukufu wa Ramadhan na Leo ni Mwezi Mosi Shawwal 1434, Sikukuu iliyotukuka kwa Waumin wote wa Kiislam. MUNGU ATUJAALIE KUYAACHA MABAYA YOTE TULIYOYAACHA KIPINDI CHA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHAN, NA ATUONGOZE KUENDELEA NA MEMA, AMINA INSHAALLAH          

No comments:

 
 
Blogger Templates