TUNAWATAKIA nawatakia Sikukuu njema ya Eid El Fitri,
wadau wote wa mitandao hiyo. Tusherehekee kwa amani na utulivu na
kufanya mema yote yaliyoamrishwa na Mwenyezi Mungu na kuendelea kuyakataa
yale yote yaliyokatazwa, Inshaallah. Na pia tuuenzi mwezi huu kama
mwalimu mzuri kwa kuendelea kutenda mema na kuyaacha yote tuliyoyaacha
ndani ya huu mtukufu wa Ramadhan na Leo ni Mwezi Mosi Shawwal 1434,
Sikukuu iliyotukuka kwa Waumin wote wa Kiislam. MUNGU ATUJAALIE KUYAACHA
MABAYA YOTE TULIYOYAACHA KIPINDI CHA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHAN, NA
ATUONGOZE KUENDELEA NA MEMA, AMINA INSHAALLAH
CRDB BANK YAZINDUA RIPOTI YA MWAKA 2025, YATANGAZA MAANDALIZI YA MKUTANO
MKUU WA WANAHISA ARUSHA
-
Na Pamela Mollel,Arusha.
CRDB Bank Plc imezindua rasmi Ripoti ya Mwaka 2025 katika mkutano na
waandishi wa habari uliofanyika jijini Arusha, ikiwa ni seh...
5 minutes ago

0 Comments