Social Icons

Thursday, January 6, 2011

SANDRA KIMATHI AGOMA KWENDA SHULE

Jamani wadau huyu mtoto anaitwa Sandra ameanza kusoma chekechea katika shule ya Junior Day Care Centre ya Yombo Dar es Salaam.Leo asubuhi aligoma kwenda shule hivyo baba yake akalazimika kumbembeleza kwa njia ya simu huku akumuahidi kumletea ubao,school bag mpya, chanzo cha kugoma ni kung'ang'ania pete za mamake Uwiii jamani watoto wa siku hizi hao.Lakini baadaye alikubali kwenda mara baada ya kuridhika na ahadi alizopewa.

4 comments:

Anonymous said...

yaniii balaaaaaaaaaaaaa mi najuuutaa
oddo iddi

Anonymous said...

mtoto mzuri jamanii namwombaaaaaaaa

Anonymous said...

kaukweliiiiiiiii

Anonymous said...

kaukweliiiiiiiii

 
 
Blogger Templates