Juma Shoka Salumu
Dilunga Kushoto akicheza mchezo wa bao na Salumu Dilunga wakati walipokuwa
maeneo ya Changamoto Mkoa wa Tabora jana mchezo huo uliozoeleka kuchezwa
mikoa ya pwani imeleta chachu kubwa kwa wakazi wa mkoa wa Tabora picha na blog ya SUPER D
KITETO WAAHIDIWA KUPATIWA MWENYEKITI WA BARAZA LA ARDHI NA NYUMBA LA WILAYA
-
Na Munir Shemweta, KITETO
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Dkt Leonard Akwilapo
ameahidi kupelewa kwa Mwenyekiti wa Baraza la Ardhi na...
3 hours ago
0 Comments