Katikati ni Mkurugenzi wa Mahusiano na Mawasiliano wa SBL , Teddy Mapunda akizungumza katika hafla ya kukabidhi mfano wa hundi yenye thamani ya shilingi mil .10,925,000/= kwa Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri (TEF) (kulia) Absalom Kibanda na Mkurugenzi Mtendaji wa Baraza la Habari Tanzania (MCT),Kajubi Mukajanga.
MWENGE WAHAMASISHA NISHATI SAFI KUMUUNGA MKONO RAIS SAMIA, ,WAGAWA MITUNGI
40 RUFIJI
-
Mwamvua Mwinyi, Rufiji Aprili 26, 2026
Mwenge wa Uhuru wahimiza na kuhamasisha wananchi kuunga mkono matumizi ya
nishati safi ikiwemo gesi ya kupikia, ma...
1 hour ago
0 Comments