Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipewa Tuzo ya Heshima ya Uanachama wa Baraza la Michezo ya Majeshi Duniani (Honorary Member) na Makamu wa Rais wa CISM Kanda ya Afrika Meja Jenerali Maikano Abdullahi kutoka Nigeria kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 14 Agosti, 2025.
Maonesho ya Mvinyo wa Afrika Kusini Yaangazia Ukuaji wa Sekta ya Utalii
Tanzania
-
DAR ES SALAAM
WADAU wa sekta ya ukarimu na utalii wameeleza umuhimu unaoongezeka wa
vyakula, mvinyo na uzoefu wa kiutamaduni katika kuimarisha nafasi y...
5 hours ago



0 Comments