Katika Ibada hii na kama ambavyo tumeendelea kufanya wakati wote, tuendelee kuitunza na kuiombea nchi yetu amani. Tuendelee kumuomba Mwenyezi Mungu atujaalie kila mmoja kwa nafasi yake kuendelea kutekeleza wajibu wake kwa uadiliu, kwa haki na kweli; na matokeo ya maisha na kazi zetu yawe yenye kumpendeza Yeye, na yenye kulifaa Taifa letu na watu wake.
Ramadhan Mubarak.

0 Comments