Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) na Msemaji Mkuu wa Serikali, Bw. Thobias Makoba, leo Oktoba 31, 2024 amekutana na Mkurugenzi wa Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa, Bw. Firimin Msiangi ambapo wamejadiliana kuhusu kushirikiana kuitangaza idara hiyo na kuboresha uhifadhi wa nyaraka hizo kidijitali.
Benki ya Exim Tanzania na Toyota Washirikiana Kurahisisha Upatikanaji wa
Magari kwa Watanzania
-
Benki ya Exim Tanzania imeingia katika ushirikiano wa kimkakati na Toyota
wenye lengo la kufanya umiliki wa magari kuwa rahisi zaidi na nafuu kwa
Watanz...
15 hours ago


0 Comments