Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) na Msemaji Mkuu wa Serikali, Bw. Thobias Makoba, leo Oktoba 31, 2024 amekutana na Mkurugenzi wa Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa, Bw. Firimin Msiangi ambapo wamejadiliana kuhusu kushirikiana kuitangaza idara hiyo na kuboresha uhifadhi wa nyaraka hizo kidijitali.
TEKNOLOJIA NA RASILIMALI ZATAJWA KUHITAJI HATUA ZA HARAKA KATIKA SEKTA YA
NISHATI
-
NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM
SEKTA binafsi imeelezwa kuwa nguzo muhimu katika kufanikisha malengo ya
Mpango wa Nne wa Maendeleo (FYDP IV), huku Serik...
24 minutes ago


0 Comments