Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) na Msemaji Mkuu wa Serikali, Bw. Thobias Makoba, leo Oktoba 31, 2024 amekutana na Mkurugenzi wa Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa, Bw. Firimin Msiangi ambapo wamejadiliana kuhusu kushirikiana kuitangaza idara hiyo na kuboresha uhifadhi wa nyaraka hizo kidijitali.
KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA YA RAIS SAMIA KUANZA RASMI MKOA WA TANGA
APRILI 8 MWAKA HUU
-
Na Oscar Assenga, TANGA
KAMPENI ya Msaada wa kisheria ya Rais Dkt Samia Suluhu “Mama Samia Legal
Aid Campaign” inatarajiwa kuanza kutoa huduma za msaada ...
3 hours ago
0 Comments