Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) na Msemaji Mkuu wa Serikali, Bw. Thobias Makoba, leo Oktoba 31, 2024 amekutana na Mkurugenzi wa Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa, Bw. Firimin Msiangi ambapo wamejadiliana kuhusu kushirikiana kuitangaza idara hiyo na kuboresha uhifadhi wa nyaraka hizo kidijitali.
MRADI WA BILIONI 15.3 WA KUSAMBAZA UMEME VITONGOJI 175 WAPOKELEWA KWA
SHANGWE MTWARA
-
-Zaidi ya Kaya 5,600 kunufaika
Wananchi wa vitongoji vya Msokole na Funguni Kijiji cha Mnazi Kata ya
Nalingu Mkoani Mtwara wameishukuru Serikali kwa kuwape...
23 minutes ago


0 Comments