RAIS DKT.SAMIA SULUHU HASSAN AZINDUA UTALII WA KASA KATIKA PANGO LA SALAAM KIZIMKAZI



Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan  akiangalia  uzuri  wa pango pamoja na kasa.
Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan  akivuta kitambaa  kuashiria uzinduzi  wa utalii wa kasa katika pangoli la Salaam lililopo Kizimkazi Dimbani  Mkoa wa Kusini  Unguja leo Agosti  24.


Post a Comment

0 Comments