NAIBU WAZIRI CHUMI AKUTANA NA NAIBU WA MAMBO YA NJE WA JAPAN


na kuimarisha uhusiano uliopo kwa manufaa ya nchi hizo.
AmesemaJapan itaendelea kushirikiana na Tanzaniana kuongeza biashara na bara la Afrika ili kuhakikisha maendeleo ya kweli yanapatikana.
Mhe. Chumia yuko nchiniJapan kuhudhuria Mkutano wa Tisa wa Kimataifa wa Tokyokuhusu Maendeleo ya Afrika (TICAD)ngazi ya Mawaziri utakaofanyika jijini Tokyo tarehe 24-25 Agosti 2024.

Masungumzo yakiendelea.


Post a Comment

0 Comments