TANGAZO:
Wizara ya Habari,Utamaduni, Sanaa na Michezo Tarehe 4/5/2016 saa 5:00 Asubuhi itaongea na wanahabari kuhusu video ya snura iitwayo chura katika ukumbi wa Wizara uliopo ghorofa ya tisa kwenye jengo la Golden Jubilee Tower.
Wanahabari mnakaribishwa
NBAA YATOA TUZO ZA UMAHILI KATIKA UANDAAJI WA TAARIFA ZA FEDHA YA MWAKA
2024 KWA MAKAMPUNI, TAASISI NA MASHIRIKA
-
Naibu Waziri wa Fedha Mhe. Laurent Deogratius Luswetula (Mb) akisoma hotuba
ya utoaji wa Tuzo za umahiri katika uandaaji wa Taarifa za Fedha ya Mwaka
20...
1 hour ago

0 Comments