TANGAZO:
Wizara ya Habari,Utamaduni, Sanaa na Michezo Tarehe 4/5/2016 saa 5:00 Asubuhi itaongea na wanahabari kuhusu video ya snura iitwayo chura katika ukumbi wa Wizara uliopo ghorofa ya tisa kwenye jengo la Golden Jubilee Tower.
Wanahabari mnakaribishwa
Fukwe Chafu, Utalii Hatari: Serikali Yatoa Onyo kwa Wananchi
-
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam.
UCHAFUZI wa mazingira ya bahari, unaochangiwa kwa kiasi kikubwa na utupaji
holela wa taka ngumu hususan chupa za pla...
1 hour ago

0 Comments