TANGAZO:
Wizara ya Habari,Utamaduni, Sanaa na Michezo Tarehe 4/5/2016 saa 5:00 Asubuhi itaongea na wanahabari kuhusu video ya snura iitwayo chura katika ukumbi wa Wizara uliopo ghorofa ya tisa kwenye jengo la Golden Jubilee Tower.
Wanahabari mnakaribishwa
DKT.MIGIRO KUUNGURUMA ILALA KESHO, AKIHITIMISHA ZIARA JIJINI DAR ES SALAAM
-
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi-CCM, Dokta Asha-Rose Migiro, kesho
tarehe 13.1.2026 anatarajiwa kuhitimisha ziara yake ya kimkakati katika
wilaya ya I...
59 minutes ago

0 Comments