TANGAZO:
Wizara ya Habari,Utamaduni, Sanaa na Michezo Tarehe 4/5/2016 saa 5:00 Asubuhi itaongea na wanahabari kuhusu video ya snura iitwayo chura katika ukumbi wa Wizara uliopo ghorofa ya tisa kwenye jengo la Golden Jubilee Tower.
Wanahabari mnakaribishwa
WANAFUNZI WA KIDATO CHA SITA MZUMBE WATAKIWA WAJIAMINI KATIKA MITIHANI YAO
YA KUMALIZA MASOMO
-
Na Mwandishi wetu.
WANAFUNZI wanaotajia kumaliza kidato cha sita katika shule ya Sekondari ya
Mzumbe wameaswa kujiamini kwa sababu wamejianda vizu...
9 hours ago
0 Comments