TANGAZO:
Wizara ya Habari,Utamaduni, Sanaa na Michezo Tarehe 4/5/2016 saa 5:00 Asubuhi itaongea na wanahabari kuhusu video ya snura iitwayo chura katika ukumbi wa Wizara uliopo ghorofa ya tisa kwenye jengo la Golden Jubilee Tower.
Wanahabari mnakaribishwa
Waziri Mavunde Apongeza Ushirikiano Benki Ya CRDB na Tume ya Madini
Uwezeshaji Wachimbaji Wadogo wa Madini
-
Dar es Salaam, 23 Februari 2026 — Waziri wa Madini, Anthony Mavunde,
amepongeza kwa ushirikiano wa kimkakati kati ya Benki ya CRDB na Tume ya
Madini, a...
33 minutes ago

0 Comments