BONDIA SEBA TEMA ASAINI KUZIPIGA NA PIUS KAZAULA DESEMBA 25 MOROGORO

Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila akimkabidhi mkataba bondia Seba Temba baada ya kutia saini ya makubaliano ya kupambana na Pius Kazaula mpambano utakaofanyika desemba 25 katika uwanja wa Jamuhuri Morogoro Picha na SUPER D BOXING NEWS

Bondia Seba Temba kushoto akitia saini katika mkataba wake kwa ajili ya kupambana na Pius Kazaula mpambano utakaofanyika Desemba 25 katika uwanja wa Jamuhuri Morogoro Picha na SUPER D BOXING NEWS
Bondia Seba Temba kushoto akitia saini katika mkataba wake kwa ajili ya kupambana na Pius Kazaula mpambano utakaofanyika Desemba 25 katika uwanja wa Jamuhuri Morogoro Picha na SUPER D BOXING NEWS


Post a Comment

0 Comments