Waziri
Mkuu, Mizengo Pinda akitoa maelezo kwa Waandishi wa habari kutoka
Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) kuhusu zao la zabibu wakati
walipotembelea shamba lake lililopo zuzu mjini Dodoma Mei 18, 2014.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) Waziri
Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu,
Uwekezaji na Uwezeshaji, Dr.Mary Nagu, Bungeni mjini Dodoma Mei 19 ,
2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) Waziri
Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na ujumbe wa Kampuni ya British
American Tobacco, Ofisini kwake Bungeni mjini Dodoma Mei 19, 2014.Kulia
kwake ni Mkurugenzi Mkuu wa Masoko wa Afrika mashariki, Ernest Leroux,
Watatu kulia ni Mkurugenzi wa Afrika ya Mashariki na kati, Jerry Gilbert
na kushoto ni Connie Anyika. Wapili kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa
kampuni ya Montage, Teddy Mapunda. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Africa, Redefined: Mobila Safaris at Indaba 2026
-
The wait is over. Africa’s most iconic landscapes are calling, and we’re
here to hand you the keys.
*Mobila Safaris is officially live at Stand DEC...
SGR :HATUNA MPANGO WA KUONGEZA NAULI
-
Shirika la Reli Tanzania (TRC) limesema halina mpango wa kuongeza nauli za
usafiri wa Reli ya Kisasa (SGR) kutokana na kupanda kwa bei ya mafuta, kwa
ku...
MAZIKO YA MPENDWA WETU HASSAN NG'ANZO
-
*Ndugu, jamaa na marafiki wakijumuika pamoja katika siku ya msiba wa
mpendwa wetu Hassan Ng'anzo nyumbani kwa marehemu Sinza Mori mapema siku ya
Ijumaa M...
WASIRA AWATOLEA UVIVU WALIOANZA MBIO ZA URAIS
-
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Tanzania Bara, Stephen
Wasira, Leo Machi 27, 2026, Mjini Bunda Mkoa wa Mara alipokuwa akiweka
jiwe la ms...
Waziri Ndalichako azindua chuo kipya cha VETA Kagera
-
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Joyce Ndalichako amezindua
chuo kipya cha VETA Ndolage kilichopo Kamachumu Wilaya ya Muleba mkoani
Kagera k...
0 Comments