Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib
Bilal, akimjulia hali Sheikh Mkuu wa Bagamoyo, Sheikh Abdallah Masoud
Jembe, anayesumbuliwa na maradhi, wakati Makamu wa Rais alipofika
nyumbani kwa Sheikh huyo, eneo la Ramiah mjini Bagamoyo, leo Nov 27,
2012 kwa ajili ya kumjulia hali.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib
Bilal, akizungumza na Sheikh wa Bagamoyo, Sheikh Abdallah Masoud Jembe,
wakati alipofika nyumbani kwa sheikh huyo eneo la Ramiah mjini
Bagamoyo, leo Nov 27, 2012 kwa ajili ya kumjulia hali kutokana na
maradhi yanayomsumbua sheikh huyo. Kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo,
Ahmed Kipozi. Picha na OMR
MSD YAJIVUNIA MAFANIKIO UPATIKANAJI DAWA,VIFAA TIBA
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Dodoma
BOHARI ya Dawa(MSD) ambayo ni taasisi iliyoundwa kisheria mwaka 1993
ikifuatiwa na maboresho mbalimbali ya sheria ili k...
MAZIKO YA MPENDWA WETU HASSAN NG'ANZO
-
*Ndugu, jamaa na marafiki wakijumuika pamoja katika siku ya msiba wa
mpendwa wetu Hassan Ng'anzo nyumbani kwa marehemu Sinza Mori mapema siku ya
Ijumaa M...
WASIRA AWATOLEA UVIVU WALIOANZA MBIO ZA URAIS
-
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Tanzania Bara, Stephen
Wasira, Leo Machi 27, 2026, Mjini Bunda Mkoa wa Mara alipokuwa akiweka
jiwe la ms...
Waziri Ndalichako azindua chuo kipya cha VETA Kagera
-
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Joyce Ndalichako amezindua
chuo kipya cha VETA Ndolage kilichopo Kamachumu Wilaya ya Muleba mkoani
Kagera k...
0 Comments