Baadhi ya wafanyakazi wa Kampuni ya Free Media Limited, inayochapisha magazeti ya Tanzania Daima na Sayari, wakiongozwa na Mhariri Mtendaji, Absalom Kibanda, wakiweka kwa pamoja shada la maua katika kaburi la marehemu Agnes Yamo. Agnes aliyekuwa mwandishi wa magazeti hayo, amezikwa Septemba 28 mchana kwenye makaburi ya Kola, Kigurunyembe mjini Morogoro.Picha na Joseph Senga, aliyekuwa Morogoro.
MADIWANI KIBAHA NA CHALINZE WATAKIWA KUIMARISHA USIMAMIZI WA RASILIMALI ZA
UMMA
-
Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa wa Pwani, Shangwe Twamala, amewataka
Waheshimiwa Madiwani wa Halmashauri za Wilaya ya Kibaha na Chalinze
kuimarisha usimamizi...
4 hours ago


0 Comments