Baadhi ya wafanyakazi wa Kampuni ya Free Media Limited, inayochapisha magazeti ya Tanzania Daima na Sayari, wakiongozwa na Mhariri Mtendaji, Absalom Kibanda, wakiweka kwa pamoja shada la maua katika kaburi la marehemu Agnes Yamo. Agnes aliyekuwa mwandishi wa magazeti hayo, amezikwa Septemba 28 mchana kwenye makaburi ya Kola, Kigurunyembe mjini Morogoro.Picha na Joseph Senga, aliyekuwa Morogoro.
MIGODI MIKUBWA NCHINI IMETAKIWA KUWEZESHA WACHIMBAJI WADOGO
-
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Ajira na Mahusiano), Deus
Sangu, akiwasilisha hotuba yake mbele ya wajumbe wa Kamati ya Ulinzi na
Usalama na M...
53 minutes ago


0 Comments