Ujumbe wa Serikali ya Taifa ya Mpito ya Libya, ukiongozwa na Mheshimiwa Mahdi M Gaziri (watatu kushoto.), Mkuu wa Ofisi ya Mwenyekiti wa Serikali hiyo,ukiagana na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete baada ya ujumbe huo kuwa umekutana naye Ikulu, Dar es Salaam mwishoni mwa wiki iliyopita (Picha na Ikulu)
Tanzania na Rwanda Zaimarisha Ushirikiano: Biashara, Nishati na Udugu wa
Kihistoria Wawekwa Mbele
-
Na Janeth Raphael- MichuziTv
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan,
amesisitiza kuwa uhusiano kati ya Tanzania na Rwanda haui...
6 hours ago
0 Comments