Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiweka saini katika kitabu cha maombolezo kwa kifo cha Inspekta Jenerali wa Polisi Mstaafu Marehemu Harun Mahundi aliyefariki april 5, 2012 na kuzikwa jana jijini Dar es salaam. Hapo ni nyumbani kwa marehemu Mikocheni barabara ya Rose Garden .
DC KARATU ATETA NA WATAALAM WA KUCHOMA NYAMA YA NYANI NA WAHUNZI JIOPAKI YA
NGORONGORO LENGAI
-
Na Mwandishi wetu, Eyasi.
Kamati ya Usalama ya Wilaya ya Karatu, ikiongozwa na Mkuu wa Wilaya hiyo
Mhe. Dkt. Lameck Karanga, imekutana na baadhi ya wa...
8 hours ago

0 Comments